Simu aina ya Infinix HOT 12 imezinduliwa rasmi nchini Tanzania, kampuni ya simu Infinix imezingatia swala la speed na chaji kwenye simu hii janja. Tayari simu hii iko sokoni na hizi zimetajwa kuwa sifa za kipekee kuwahi kuwepo kwenye matoleo ya awali ya series ya HOT, processor Mediatek Helio G85, fast charji usb type c ya watt 18, kioo cha inch 6.82HD+ na refresh rate ya nyuzi 90Hz pamoja na teknolojia ya touch rate ya nyuzi 180.
Infinix HOT 12
inauwezo wa kuendesha aina yoyote ya game, katika uzinduzi huo afisa wa
Uhusiano Infinix Aisha Karupa aliyasema haya, “Tunafuraha kuzindua Modeli ya
kwanza ya Infinix kutoka mfululizo wa HOT itakayokuwa na chipset ya G85 ya
games, Infinix Hot 12 ni simu bora na nyepesi zaidi kwa upande wa game ambapo
mtumiaji anaweza kucheza game lake bila kugandaganda na huku akiendelea
kuwasiliana katika mitandao mingine ya kijamii n.k , lakini pia ina ubora wa
juu zaidi wa betri, Infinix HOT 12 ina
vifaa vya 5000mAh, chaji ya hali ya juu ya Type -C18W, teknolojia ya kudumu ya
betri ya Infinix iliyojitengenezea ambayo hufanya betri ikae na chaji kwa muda
mrefu sana, ambapo chaji 5% inaweza kukaa na kutumika kwa hadi masaa 2.6 ”
Bwana Blass
Abdon kutoka Tigo Tanzania na Afisa Uhusiano Infinix Aisha Karupa wakizindua
simu hiyo
"Infinix
HOT 12 ina mwonekano wa kuvutia na skrini ya inchi 6.82" ya 90Hz Pro-Level
ya esports kwa ingizo laini la silky-laini na sampuli ya mguso 180Hz inayoipa
Infinix HOT 12 kiwango cha mwitikio cha haraka ambacho ni bora kabisa kwa
games. Infinix HOT 12 sasa inapatikana katika maduka yote ya simu nchini
Tanzania ikiwa na ofa ya GB78” aliongeza Aisha Karupa.
Fura yetu sisi kama waandishi nikuona makampuni yanakidhi mahitaji ya watumiaji na nilengo letu kuwaletea kitu ambacho nikizuri na kina faa kwa mahitaji ya kila siku.
endelea kufuatilia kurasa za ZOOM TECH ili kuwa wakwanza kupata habari zote mpya juu ya ulimwengu wa kiteknolojia.
Tembelea @infinixmobiletz
au piga nambari ya simu 0743558994
kwa huduma ya haraka.
#TechLazima

Chapisha Maoni