Habari wakubwa?
Leo tutazame kwa kina earpod bora kwenye soko kwa sasa, kwa upande wa iPhone, android na vifaa vingine vyote.
Kwa upande wa iPhone(Hizi hazifanyi kazi kwenye android);
1. Apple AirPods Pro (2nd Generation) ni airpod zenye utendaji wa vitu vingi ikiwa na uwezo wa features zifuatazo;
|Noise cancellation: Yes
| Transparency: Yes
| Battery life: Rated up to 6 hours (ANC on)
| Wireless Charging: Yes
| Water resistance: IPX4 | Bluetooth Multipoint: No
| Works best with: iOS, macOS
| Ear tips: Silicone (XS, S, M, L included)
Kwa matumizi ya kila kitu;
2. Sony Linkbuds S, Hizi zinafanya vizuri kwenye kila kifaa na ni nyepesi na kuna wakati unaweza kusahamu kuwa umezivaa sikioni.
Hizi ndio features zake;
|Noise cancellation: Yes
| Transparency: Yes
| Battery life: Rated up to 6 hours (ANC on)
| Wireless Charging: No
| Water resistance: IPX4
| Bluetooth Multipoint: Yes
| Works best with: Android, iOS
| Ear tips: Silicone (XS, S, M, L included)
Nzuri na kwa baei rafiki;
3. Jabra Elite 3, Hizi ni earpod ambazo zina uwezo mkubwa kwa bei rafiki ambapo zinapatikana kwa wastani wa $100.
Hizi ndizo features zake;
|Noise cancellation: No
| Transparency: Yes
| Battery life: Rated up to 7 hours
| Wireless Charging: No
| Water resistance: IP55
| Bluetooth Multipoint: No
| Works best with: Android, iOS
| Ear tips: Silicone (S, M, L)
Kwa sasa hizo ndio Best earpod kwa sasa.
Je, Wewe unatumia ipi kati ya hizo?
Chapisha Maoni