Samsung
A34, TECNO Camon 20 Series ni miongoni mwa simu ambazo huenda zimeathiriwa na
ujio wa Infinix NOTE 30 Series, pamoja na kwa karibu tuangalie tofauti kati ya
Infinix NOTE 30 Pro na Samsung A34 kifeatures na bei.
Kamera
Kwenye
idara ya picha, Note 30 Pro pia inaonekana kuwa bora zaidi kwani ina mfumo wa
kamera kuu ya 108 MP pamoja na kamera ya kina ya 2 MP na kamera ya makro ya 2
MP, na kamera ya selfie ya 32 MP. Hii ni tofauti kubwa kutoka kwa mfumo wa
kamera ya Galaxy A34 yenye MP 48 na kamera ya selfie ya MP 13. Kwa Note 30 Pro,
watumiaji wanaweza kutarajia picha zenye rangi nyingi na muonekano bora zaidi.
Teknolojia ya Fast Charge
Simu
zote mbili zina betri yenye uwezo wa 5000 mAh, ikitoa nguvu ya kutosha kwa
matumizi ya siku nzima. Hata hivyo, Note 30 Pro inaongoza na uwezo wake wa fast
charging ya hadi 68W.
Mbali
ya hayo Infinix Note 30 Pro inakusogezea ulimwengu mpya #GusainishaIjae ambapo
sasa simu mpya ya Infinix NOTE 30 Pro inakuja na uwezo wa kuchaji simu nyingine
kwa kugusanisha na simu ya nyingine yenye wireless charging. Sehemu hii
husaidiwa na teknolojia ya reverse wireless charging yenye uwezo wa hadi 15W.
Kwa
upande mwingine simu ya Galaxy A34 inakuja na fast charging ya 25W. Huku ikiwa
haina teknolojia ya kuchaji simu nyingine. Hii inafanya Infinix Note 30 Pro
kuchaji kwa haraka ndani ya muda mfupi, ambao ni faida kubwa kwa wale ambao
wana haraka ya kupambana na Maisha.
Kioo
Infinix
Note 30 Pro ilitangazwa tarehe 16 Mei 2023, na kuja na huduma kadhaa muhimu.
Ina kioo kikubwa cha inch 6.78 AMOLED, kikiwa na resolution ya FHD+ yaani pixel
1080 kwa 2460, kioo ambacho ni kubwa kuliko kioo cha Samsung A34 chenye inch 6.6. Kioo cha Note 30 Pro pia kinakuja na
refresh rate ya juu ya 120Hz ili kusaidia kutumia apps na game kwa urahisi
zaidi.
Utendaji
Kwa utendaji, Infinix Note 30 Pro
inatumia processor ya MediaTek Helio G99 ultra-power, iliyotengenezwa kwa
teknolojia ya 6nm, na kasi ya processor inayofikia 2.2 GHz. Hii inaambatana na
RAM iliyozidishwa hadi 16GB na uhifadhi wa 256GB.
Kwa upande mwingine, Samsung A34
inatumia chipset ya MediaTek MT6877V Dimensity 1080 yenye CPU ya octa-core na
inatoa hadi RAM ya 8GB na uhifadhi wa 256GB. Note 30 Pro inazidi kuwa bora
kutokana na uwezo wake wa RAM wa juu, hivyo uwezo huu utafanya uweze kutumia
simu hii kwa haraka zaidi kuliko Galaxy A34.
Kwa upande mwingine simu ya Galaxy
A34 inakuja na fast charging ya 25W. Huku ikiwa haina teknolojia ya kuchaji
simu nyingine. Hii inafanya Infinix Note 30 Pro kuchaji kwa haraka ndani ya
muda mfupi, ambao ni faida kubwa kwa wale ambao wana haraka ya kupambana na
Maisha.
Bei
Bei ni moja kati ya sehemu muhimu
kuangalia hasa kama unataka kununua simu kwa mwaka huu 2023, kwa upande wa bei
Galaxy A34 inapatikana kwa bei ya kuanzia TZS 700,000 bei hii inaweza
kuongezeka kulingana na mahali utakapo nunulia simu hiyo, huku kwa Infinix Note
30 Pro unaweza kupata sifa zote ikiwa na mfumo wa #GusainishaIjae kwa TZS 650,000
Tu.
Watembelee @infinixmobiletz #Samsung
au piga 0745170222.
Noma sana
JibuFutaIko poa japo cijaimiliki
JibuFutaChapisha Maoni