INFINIX mobile Tanzania yatarajia kuzindua simu mpya tar 3/06/2022

 Kampuni ya Simu janja Tanzania Infinix Mobile wanatarajia kuzindua simu mpya ijumaa hii ya tarehe 13/06/2022.



Simu ambayo imekuwa inasubiriwa kwa mda sasa ya Infinix NOTE 12 VIP ndo inasemekana itazinduliwa siku hiyo huku habari kutoka chanzo cha kuaminika inasemekana kuwa uzinduzi huu utakuja na mambo makubwa kuwahi kufanyika hapa Tanzania kama ilivyo simu yenyewe ambayo inavunja rekodi ya dunia sasa kwa kuwa simu inayochaji kwa mda mfupi zaidi ambapo inachaji kwa dakika kumi na saba hadi kujaa kabisa maana inatajwa kuja na 120W fast charging technology.


Kwenye uzinduzi huozandaani kabisa zinasema atakuwepo msanii anayekuja kwa kasi na kufanya vizuri kwa sasa kutoka WCB Zuchu na pia watakuwepo watu maarufu wengi kuhakikisha jambo hili la Infinix linakuwa la kipekee kabisa na la ki-VIP kama simu inavyotajwa kuwa VIP.


Kupitia ukurasa wa kampuni hii ya Infinix wamekuwa wakionesha kuwa kuna ujio wa kitu hichi huku taarifa za ndaani kabisa zikisema linaenda kuwa tukio litakaloacha historia maana kuna suprise nyingi kutoka Infinix.


Au Zuchu atakuwa ambassador wa kampuni hii? Ni mawazo yetu tu ndugu msomaji wa Zoom Tech, Wewe una maoni gani juu ya hili?


12 Maoni

  1. Martin Mlely1 Juni 2022, 23:25

    Naikaribisha mtaani

    JibuFuta
  2. Inauzwa T sh ngap

    JibuFuta
  3. Mimi nitakua wa kwanza kuinunua ka nilivyokua wa kwanza kuinunua Infinix not 11

    JibuFuta
    Majibu
    1. Itapatukana madukani,,,wapi???

      Futa
  4. Shingap na inaitwaje

    JibuFuta
  5. Inala u ngapi

    JibuFuta
  6. Saw tuleeteni

    JibuFuta
  7. Kwisha habari, nadhani jmoc ntakua nayo mkononi!

    JibuFuta
  8. Ina beigani

    JibuFuta
  9. Beigani na inautofaut

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi