INFINIX NA VODACOM TANZANIA KUZINDUA RASMI ZERO ULTRA 5G TANZANIA

Habari njema kwa watumiaji wa simu janja za mkononi.

Kampuni ya simu Infinix kupitia mtandao wa kijamii @infinixmobiletz ya thibitisha juu ya ujio wa Infinix ZERO ULTRA 5G nchini Tanzania. Infinix ZERO ULTRA 5G kuzinduliwa rasmi Oktoba 13 na kwa tetesi za chini chini Infinix kushirikiana na Vodacom Plc kampuni ya kwanza yenye Mtandao wa kasi ya 5G nchini Tanzania kuzindua simu hiyo mahiri. Infinix imeweka wazi baadhi ya sifa za Infinix ZERO ULTRA 5G na juu ya ushirika wake na Royal Meseums Greenwich https://www.instagram.com/p/CjZt0a7tEYr/ .

Kwa mujibu wa kampuni hii Infinix ZERO ULTRA 5G inatarajiwa kuwa na features zenye uwezo wakuyafanya haya;

Kioo cha AMOLED na Refresh Rate 120Hz

·         Tutegemee kuona ufungukaji wa applications ambavyo utafanyika kwa haraka kwa simu hii pia inasemekana features hizi mbili zimeimarisha ubora wa rangi wa picha na ulaini wa kioo kufunguka kwa application ni kufumba na kufumbua.

Chaja Watt 180.

·         Tutegemee kupokea simu ya kwanza ya bei nafuu zaidi duniani kujaa chaji kwa dakika 12 tu na kudumu na chaji siku nzima pasipo kuzima data.

Kamera 200MP na OIS

·         Inasemekana ni simu ya kwanza kuja na aina hii ya kamera sensor hivyo tutegemee kuona Infinix ZERO ULTRA 5G kuchukua picha na video zenye Quality ukubwa wa Camera Sensor inavuta kwa ukaribu tukio la picha halisi ya mazingira pasipo kuathiriwa na umbali, Giza au udogo wa kitu.

 

Uzinduzi kufanyika mubashara @infinixmobiletz kesho saa 6:00 mchana.

 kwa kufahamu zaidi kuhusu uzinduzi huu na uhitaji wa kujua zaidi kuhusu kampuni hii ya simu endelea kufatilia kurasa zetu zote za ZOOMTECH kwa taarifa kamili pia unaweza kutupiga kwa number hizi ili  0743558994 kwa huduma ya haraka au acha comment yako hapo chini.

kutoka ndani zaidi huu ndio muonekano inasemekana wa simu hii ambayo ita zinduliwa kesho na kampuni ya simu ya infinix. 

je uko tayari kua wakwanza kuitumia na kuifahamu zaidi simu hii?

 


#Techlazima

 

 

 

 


13 Maoni

  1. Itakuwa ni sh ngapi?

    JibuFuta
    Majibu
    1. 1,300,000 za kitanzania

      Futa
  2. Bei yake ipoje??

    JibuFuta
    Majibu
    1. Boss ZERO ULTRA ni Tsh. 1,500,000/=
      Karibu sana.

      Futa
  3. Tutoleeni na zabeiyachin kidogo,

    JibuFuta
  4. Tupeni kwa mkopo

    JibuFuta
  5. BEI bosi WHTSAPP no.0673551994

    JibuFuta
  6. Ya bei ya chini ni bei gani

    JibuFuta
  7. Inauzwa shilingi ngapi za kitanzania

    JibuFuta
  8. Mkopo tulips kidogo kidogo Mambo yatakuwa poa Sana sisi Tisha kua wadau wenu wakubwa Sana tupeni na matangazo ili tufaidike na mtandao tuweze kuwatangaza zaidi

    JibuFuta
  9. Wapi zinapatikana kiurais

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi