UNA HABARI??? Soma pole pole tukupe siri ya kampuni hii ya simu inayo kuja kuvunja rekodi tena kwamara nyingine kwenye soko la simu nchini.
Ikiwa zimesalia
siku chache kwa simu ya Infinix ZERO ULTRA 5G kuzinduliwa kimataifa, tayari
simu hii imeweza teka hisia za watu wengi duniani baada ya picha za simu hii
kuenea mitandaoni kote zikionyesha baadhi ya sifa kama chaji ya Watt 180 na
Camera ya Megapixel 200 kwa ukaribu zaidi.
Kwa mujibu wa
mtandao wa kijamii wa kimataifa @infinixglobal
Infinix ZERO ULTRA 5G kuzinduliwa Octoba 5 Kimataifa, kwa mara nyengine tena Infinix
yashirikiana na wataalamu wa anga @royalmuseumsgreenwich
ili kuonyesha uhodari na uthibitisho wa bora wa camera ya zimu hii.
Kwa mujibu wa
tovuti mbalimbali za TECH kimataifa kama HG tech,GSMArena na nyinginezo
zinatudodosa kuwa itamchukua mtumiaji dakika 12 au pungufu kufikisha asilimia %
kutokea asilimia 0.
Bado bei ya simu
hii ya kimataifa haijatambulika lakini tetesi zinadai ni simu ya kwanza duniani
kuja na sifa hizi kuwa na bei ya chini zaidi. Ni feature gani nyengine
unategemea kuwepo kwenye simu hii?
Kwa maswali
zaidi piga 0743558994


Mmetisha sana, hii nasubiria kwa hamu
JibuFutaKaa karibu na kurasa za Infinix Uipate itakapo fika
FutaInfinix wanakuwa siku hadi siku kweli kuna umuhimu wa makampuni kongwe ya simu kuwa makini 180watt ni noma
JibuFutaHakika, Wamekuja kuonesha kuwa kila kitu kinawekana
FutaAsante sana, 108 watt hiyo sio kitoto
JibuFutaMmetisha naisubili kwa hamu sana
FutaNimewaerewa hapo mmetisha
FutaInasemekana Inajaza simu ndani ya dakika 12 tu.
FutaMimi naomba ikitokea tu mnijulishe mlio karibu na mijini. Wengine tuko vijijini mno, ni ngumu kujua kama ushafika madukani.
JibuFutaBoss Infinix Wamesema tarehe 13 wanaizindua, Kaa tayari na Uvunje kibubu maana mda unakaribia
FutaNamba ni 0753522507/ 0692517984
JibuFutaVizuri
JibuFutaNakubali san
JibuFutaZimeshafika au bado.
JibuFutaInfinixworld
JibuFutaHamnaga kazi mbovu 🔥🔥 ni chuma juu ya chuma
Hakika boss, Wako vizuri
FutaInfinix ndiyo kampuni linalotoa simu zenye ubora Hii niyetu sote siyo yakukusa
JibuFutaNasubiri simu hiyo ata Leo nphate iliko
FutaInatisha kwa kweli
JibuFutaYani mko vizuli
JibuFutaKwa sifa hizo nami nitajitungua
JibuFutaKwa sifa hizi kiukweli sio simu ya kuikosa
FutaNimeipemda hio pia ninaisubili kwahamu hio siku
JibuFutaWoooooow🔥🔥🔥
JibuFutaNaisubiri kwa hamu ikifika nipigie na. +255754446868
JibuFutaWewe jamaa,,yaani comments zako zinajaza post nzima;halafu unasahau kama umeandika namba nyingine kwenye comments za hapo juu;...
JibuFutaWanakutumia vizuri ila wewe unatumika vibaya
Aiseee mmetishaaaaaa natamani niipate inapatikan wapi iyoo mim Niko mwanza ntaipataje
JibuFutaJambo jema
JibuFutaChapisha Maoni