IINSTAGRAM THREAD...?

Habari wana Zoom 


karibu kutoa maoni yako unaionaje hii app ya Instagram thread?

Je inakidhi mahitaji yako ya mitandao ya kijamii?


FREE TALK kwenye comment.


#TechLazima

22 Maoni

  1. Bado tunaanza kuitumia

    JibuFuta
  2. 𝐍𝐢𝐦𝐞𝐢𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐧𝐚𝐰𝐚𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐮𝐧𝐠𝐚?

    JibuFuta
  3. Nimeipenda

    JibuFuta
    Majibu
    1. Najua dunia ni mzunguko lakin walimwengu tusichambane

      Futa
  4. Mtandao uru na uko vizur

    JibuFuta
  5. Iko vzr naweza tumia

    JibuFuta
  6. Du ngoja tuone

    JibuFuta
  7. Nimeipenda mzuri

    JibuFuta
  8. Mtu unaunganiswaje kama unaitaka?

    JibuFuta
  9. Nimeipenda

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi