Leo, Google imethibitisha kuwa itakuwa mwenyeji wa tukio lake la I/O mwaka huu moja kwa moja kutoka Shoreline Amphitheatre. Tukio hili mara nyingi litafanyika mtandaoni, na baadhi yake huenda zikaonyeshwa moja kwa moja kutoka kwa ukumbi.
We'll be back live from Shoreline Amphitheatre for this year's #GoogleIO! Join us online May 11-12 https://t.co/KgNKbaLeym pic.twitter.com/NUodJb7UCi
— Sundar Pichai (@sundarpichai) March 16, 2022
kaatayari kwa mambo mazuri kutoka Google, endelea kufuatilia kurasa za Zoomtech kwa updates za kila saa.
#TechLazima
Chapisha Maoni